Friday, December 25, 2020

TANZIA:Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza afariki Dunia .


 Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza afariki Dunia . Taarifa za kifo Chake zimethibitishwa Usiku huu na Watu wa Karibu yake huku chanzo cha kifo chake kikiwa bado hakijawekwa wazi . tunatoa Pole kwa Familia yake, Wasanii na Watanzania kwa ujumla kwa Msiba huu Mzito kwa Taifa . Tutamkumbuka Daima Mh. Mngereza kwa kujitoa kwake na Jitihada zake za kuhakikisha Sanaa ya Tanzania inasonga mbele . Mungu ailaze Roho yake Mahala Pema Peponi AMIN

Related Posts

TANZIA:Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza afariki Dunia .
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.