Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza afariki Dunia . Taarifa za kifo Chake zimethibitishwa Usiku huu na Watu wa Karibu yake huku chanzo cha kifo chake kikiwa bado hakijawekwa wazi . tunatoa Pole kwa Familia yake, Wasanii na Watanzania kwa ujumla kwa Msiba huu Mzito kwa Taifa . Tutamkumbuka Daima Mh. Mngereza kwa kujitoa kwake na Jitihada zake za kuhakikisha Sanaa ya Tanzania inasonga mbele . Mungu ailaze Roho yake Mahala Pema Peponi AMIN
TANZIA:Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza afariki Dunia .
4/
5
Oleh
Dartaarifamemes