Saturday, July 4, 2015

Maneno ya Mustafa baada ya TV za Kenya kupigwa marufuku .

ColonelBaada ya video kama za ‘Nishike’ ya Sauti Sol na ‘You guy’ ya P Unit kufungiwa, headlines za sasa zimeangukia kwa Mustafa Colonel ambaye ni siku za karibuni tu alishikwa na Polisi kwa madai kuwa kwenye hii video kuna Mwanamke ambaye ni nyumba ndogo ya kigogo flani hivyo picha alizopigwa hazitakiwi kuvuja.
Baada ya hayo video ilipotoka kwa ubishi bila picha kufutwa, imefungiwa kuonyeshwa kwenye TV za Kenya kwa sababu imevuka mipaka ya kuzingatia maadili

Related Posts

Maneno ya Mustafa baada ya TV za Kenya kupigwa marufuku .
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.