Vijana wengi wamekuwa wakipiga picha na kuzituma mitandaoni. na hata kipiga selfie.
ila tabia hii sio kama imeanza leo ila mtindo huu ulianza tangia miaka ya zamani.
ROBERT CORNELIUS, ndiye mgunduzi wa picha zinazojulikana kama selfie,
amezaliwa mjini Philadephia, upigaji wa picha huo uligundulika miaka ya 1839.
SELFIE YA KWANZA.
4/
5
Oleh
Dartaarifamemes